Download presentation
Presentation is loading. Please wait.
1
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
NENO LA SEMINA USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Mwl. Mgisa Mtebe
2
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12-29 Yohana 16:1-16, 22
3
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 “12 Amin, amin, nawaambia, ye yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.
4
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 “13 Mkiniomba Neno lolote kwa Jina langu, jambo hilo nitalifanya 14 Kama mkiniomba lo lote kwa Jina Langu nitalifanya. 15 Kama mnanipenda, mtazishika amri Zangu.
5
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 “16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele.
6
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 ‘’17 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumtambui.
7
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 ‘’17 … Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu.
8
ROHO MTAKATIFU Yoh 14:12-29 “23 Yesu akamjibu, ‘‘Mtu ye yote akinipenda atalishika Neno Langu na Baba Yangu atampenda, Nasi tutakuja kwake na kufanya makao Yetu kwake. ’’
9
ROHO MTAKATIFU Yoh 14:12-29 “21 Ye yote mwenye amri Zangu na kuzishika ndiye anipendaye, naye anipendaye atapendwa na Baba Yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake. ”
10
ROHO MTAKATIFU Yoh 14:12-29 “26 Lakini huyo Msaidizi, yaani, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa Jina Langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.
11
ROHO MTAKATIFU Yohana 16:1-16, 22 7 Kwahiyo, Ni bora Mimi niondoke kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.
12
ROHO MTAKATIFU Yohana 16:1-16, 22 13 Atakapokuja huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie katika kweli yote. Yeye hatanena kwa ajili Yake mwenyewe, bali atanena yale yote atakayosikia, naye atawaonyesha mambo yajayo.
13
ROHO MTAKATIFU Katika Sura ya Yohana 14-16 Bwana Yesu anaweka msisitizo mkubwa wa Kanisa kusubiri msaada wa Roho Mtakatifu. Kwanini?
14
Ushirika na Roho Mtakatifu
Roho Mtakatifu wa Mungu, ndiye siri ya ushindi wa mtu wa Mungu, ili kumwezesha yeye kama Mwana wa Mungu kuutawala Ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili, kwa ushindi na kwa mafanikio.
15
KANUNI ZA KIROHO 1Yohana 5:4 ‘Kila kitu kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu; Na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, ni hiyo IMANI yetu’
16
KANUNI ZA KIROHO Warumi 8:37 ‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushinda, (katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi), kupitia Kristo Yesu aliyetupenda’
17
KANUNI ZA KIROHO 1Wakorintho 15:57 ‘Mungu wetu ashukururiwe, yeye atupaye kushinda, kwa Bwana wetu Yesu Kristo.’
18
KANUNI ZA KIROHO Japo Mungu ametutangazia ushindi katika mambo yote, lakini bado watu wa Mungu wengi, kuna mambo mengi yametushinda, na bado tunaishi katika maisha ya kushindwa.
19
KANUNI ZA KIROHO Sababu zipo nyingi; Lakini moja ya sababu kubwa za watu wa Mungu kuishi maisha ya kushindwa, ni kutokuwa na Ushirika mzuri na Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye ndiye Msaada wetu.
20
Yohana 14:12 Ni kwaababu; Roho Mtakatifu wa Mungu, ndiye siri ya ushindi wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo kumwezesha yeye kama Mwana-wa-Adam kuutawala Ulimwengu wa roho na mwili.
21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano wa; Bwana Yesu Kristo Luka 4:1, 14
22
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Bwana na Mwokozi Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
23
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 4:1, 14 1 Yesu alipokwisha kubatizwa, aliongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani katika maombi ya siku 40.
24
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 4:1, Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya katika nguvu za Roho Mtakatifu.
25
TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU
Luka 4: Luka 4:14 Alitembea kwa Alitembea na Uongozi Nguvu wa Roho za Roho Mtakatifu Mtakatifu
26
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 10:38 38 Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu; naye akazunguka kote kote akitenda mema na kuwaponya wote walioteswa na ibilisi shetani.
27
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ikiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta, kwa maombi mazito na makali sana maishani mwake, si zaidi sana sisi binadamu wa kawaida?
28
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu, duniani. (‘It’s a necessity’)
29
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Pasipo, Nguvu za Mungu, (nguvu za kiroho) mwanadamu hataweza kutawala mazingira yake kwa ukamilifu; hataweza kuwa na ushindi kamili maishani.
30
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
31
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano wa; Wanafunzi wa Yesu Yoh 20:20-22, Luka 24:49, Mdo 1:8, Mdo 2:1-4
32
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Ndio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
33
Yohana 20:20-21 Yesu akawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;
34
(Pamoja na kwamba ameshawapa Roho Mtakatifu)
Luka 24:49 (Pamoja na kwamba ameshawapa Roho Mtakatifu) “Tazama nawaletea ahadi ya Baba; Hivyo msiondoke humu mjini, mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu (Nguvu za Mungu).
35
Matendo 1:8 8 “Nanyi mtapokea nguvu, akiisha kuja Roho Mtakatifu juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu, tangu hapa Jerusalem hata mwisho wa nchi.
36
Matendo 2:1-4 “Na walipokuwa wamekusanyika pamoja; ghafla kukaja uvumi wa upepo wa kasi, wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kunena kwa lugha kama Roho alivyowajalia kutamka.
37
TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU
Yoh 20: Mdo 2:1-4 Walipokea Walipokea Roho Nguvu wa za Mungu Mungu
38
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu, duniani. (‘It’s a necessity’)
39
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 22:29 29 Yesu alisema, ‘Mwapotoka na kupotea kwa sababu hamjui maandiko, wala uweza wa Mungu (Nguvu za Mungu).
40
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ikiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Roho Mtakatifu wa Mungu na alizitafuta, kwa maombi mazito maishani mwake, kabla hata ya kuanza kazi ya Ufalme wa Mungu duniani …
41
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
… mimi na wewe, tunawezaje kufikiri, tunaweza kufanikiwa duniani na kuishi maisha ya ushindi, pasipo kujazwa Nguvu za Roho Mtakatifu kila siku?
42
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 “12 Amin, amin, nawaambia, ye yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.
43
Yohana 14:12 ‘Amini Amini nawaambeni, kila aniaminiaye mimi, kazi ninazozifanya (ushindi), na yeye atazifanya, na tena kubwa kuliko hizo, atafanya, kwasababu nawaletea Roho Mtakatifu aliye juu yangu’.
44
Yohana 14:12 Hii ina maana kwamba; Kumbe Roho Mtakatifu wa Mungu, ndiye aliyekuwa siri ya ushindi wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo katika siku zake alizotembea duniani.
45
Ndio maana alisema kwamba;
Luka 4:18-19 Ndio maana alisema kwamba; ‘Roho Mtakatifu wa Mungu yuko juu yangu; amenipa uwezo wa kuwafungua watu wote waliofungwa na kuwaponya wote walioumizwa mioyo.
46
Luka 4:18-19 Ikiwa Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, alimtegemea Roho Mtakatifu wa Mungu duniani, mimi na wewe, tunawezaje kudhani tutaweza kufanikiwa bila msaada wa huyu Roho Mtakatifu?
47
Yohana 14:12 Kwahiyo; Kila mtu anayetaka kutembea katika Ushindi wa Bwana Yesu maishani mwake, lazima afuate kanuni zile zile zilizomwezesha Yesu kuushinda ulimwengu.
48
KANUNI ZA KIROHO Roho Mtakatifu wa Mungu, ndiye siri ya ushindi wa mtu wa Mungu, ili kumwezesha yeye kama Mwana wa Mungu kuutawala Ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili, kwa ushindi na kwa mafanikio.
49
KANUNI ZA KIROHO Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupamba na ulimwengu wa mwili ambao huwa wakati mwingine, unakataa tu kufanya kazi vile inavyotakiwa au vile ilivyotegemewa.
50
KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika ulimwengu wa mwili (ulimwengu wa yanayoonekana)
51
KANUNI ZA KIROHO ‘Hivyo Basi mtu wa Mungu akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo ya rohoni na pia awe na Nguvu kubwa za rohoni.
52
KANUNI ZA KIROHO Na kwa namna Mungu alivyousuka ulimwengu wa dunia hii, ni hakika ya kwamba, vitu tunavyotaka vifanyike katika ulimwengu wa mwili, ni sharti kwanza vifanyike katika ulimwengu wa roho.
53
KWANINI ROHO MTAKATIFU ‘nguvu fulani za kiroho’.
Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.
54
KANUNI ZA KIROHO Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia; kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho, kwa msaada wa nguvu za kiroho
55
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Ndio maana Mungu ametupa Roho wake, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za ajabu za Roho Mtakatifu.
56
KANUNI ZA KIROHO Sababu zipo nyingi; Lakini moja ya sababu kubwa za watu wa Mungu kuishi maisha ya kushindwa, ni kutokuwa na Ushirika mzuri na Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye ndiye Msaada wetu.
57
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Kwa jinsi Mungu alivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo kwa msaada wa nguvu fulani za kiroho.
58
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Kwa jinsi Mungu alivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo kwa msaada wa nguvu fulani za kiroho.
59
KANUNI ZA KIROHO Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
60
Kwa Mfano; Uumbaji wa Dunia Waebrania 11:3 Mwanzo 1:1-5, 14-19
KANUNI ZA KIROHO Kwa Mfano; Uumbaji wa Dunia Waebrania 11:3 Mwanzo 1:1-5, 14-19
61
KANUNI ZA KIROHO Kwa lugha rahisi; Waebrania 11:3 “Vitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (au vitu visivyo wazi wazi au vitu visivyoonekana)”
62
Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo,
KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo, Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa na mambo ya ulimwengu wa roho;
63
Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo,
KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual Principles).
64
KANUNI ZA KIROHO Kwa lugha rahisi; Waebrania 11:3 “Vitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (au vitu visivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)”
65
ULIMWENGU WA ROHO Hii ina maana kwamba;
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu wa roho. (Waebrania 11:3) 65
66
Ulimwengu wa roho Milele Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa Mwa Kumb, Isa, Dan Math Math Thes Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1: 33 ½ ½ 3 ½ Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki Milele
67
Ulimwengu wa roho Milele Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa Mwa Kumb, Isa, Dan Math Math Thes Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1: 33 ½ ½ 3 ½ Injili Ulimwengu wa Roho Kanisa Dhiki 700 Ulimwengu wa Mwili (4) Daniel 7:13 – 14, (5) Ufunuo 20:11 – 15 (3) Isaya 9: 6 Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo BK BK Milele
68
KANUNI ZA KIROHO 2Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).
69
ULIMWENGU WA ROHO Waebrania 11:3 Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili. 69
70
KANUNI ZA KIROHO Ebr 11:3, 1Yoh 5:4 Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.
71
Vitu visivyoonekana Vitu vinavyoonekana Na vyote viko kwa pamoja
ULIMWENGU WA ROHO Ulimwengu w Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2); Vitu visivyoonekana Vitu vinavyoonekana Na vyote viko kwa pamoja 71
72
ULIMWENGU WA ROHO Waebrania 11:3
Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini). 72
73
“Ikiwa kuna Mwili wa asili Na ‘mwili wa roho’ pia uko”
ULIMWENGU WA ROHO Biblia inasema; “Ikiwa kuna Mwili wa asili Na ‘mwili wa roho’ pia uko” 1 Wakorintho 15:44 73
74
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
ULIMWENGU WA ROHO Kwahiyo Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake 1 Wakorintho 15:44 74
75
KANUNI ZA KIROHO Kwakuwa, Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza na kisha kuuzaa ulimwengu wa mwili;
76
KANUNI ZA KIROHO Hivyo basi; Hakuna kinachofanyika katika ulimwengu wa mwili mpaka kwanza kimefanyika katika ulimwengu wa roho;
77
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili.
KANUNI ZA KIROHO Hivyo basi; Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili.
78
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8 Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
79
Ulimwengu wa roho Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya
KANUNI ZA KIROHO Ulimwengu wa roho Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; 79
80
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki- mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu. 80
81
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni zinazotawala mvua mwili, na ndio maana mvua haikunyesha. 81
82
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu yote imepukutika; kwahiyo hakukuwa na kanuni za kutosha kuruhusu mvua kunyesha. 82
83
NGUVU YA MAOMBI 1Wafalme 18:30-45;
Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwana upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yake, kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli. 83
84
NGUVU YA MAOMBI 1Wafalme 18:41-44; Baada ya Nabii Eliya kufanya Maombi na Sadaka, Mungu akaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayo ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu. 84
85
NGUVU YA MAOMBI 1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI; 85
86
NGUVU YA MAOMBI 1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi (mstari 44-45). 86
87
Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Ulimwengu wa Mwili Uyahudi Uyahudi Uyahudi Efe 2: Efe 6: Efe 2: Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu 87
88
Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / Efe 2: Efe 6: Efe 2: Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu 88
89
NGUVU YA MAOMBI 1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza. 89
90
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8 Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
91
KANUNI ZA KIROHO Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupamba na ulimwengu wa mwili ambao huwa wakati mwingine, unakataa tu kufanya kazi vile inavyotakiwa au vile ilivyotegemewa.
92
KANUNI ZA KIROHO Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
93
KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Nguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani, (katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko yafuatayo;
94
KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 1. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zilizokataa kufanya kazi, ziweze kufanya kazi kama ilivyotegemewa. (kama kawaida yake)
95
KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 2. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza kufanya kazi, zipindishwe hata ziweze kufanya kazi katika hali isivyotegemewa. (si kawaida yake)
96
KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 3. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza kufanya kazi, zirukwe, hata jambo lifanyike bila kupitia katika njia yake ya asili. (si kawaida yake)
97
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Kwamba … Nguvu za Mungu zinaweza kukuvusha na kukufanikisha pale ambapo kanuni za kawaida za kimwili (za kiasili) zinapogoma kufanya kazi.
98
KANUNI ZA KIROHO ‘Hivyo Basi mtu wa Mungu akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo yasiyoonekana (mambo ya rohoni) yaani Imani.
99
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Kwa jinsi Mungu alivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo kwa msaada wa nguvu fulani za kiroho.
100
KANUNI ZA KIROHO Ebr 11:3; Zab 8:4-8 Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
101
KANUNI ZA KIROHO Warumi 3:23/Warumi 5:12-19 Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake, ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.
102
KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI
KANUNI ZA KIROHO KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI
103
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
104
KABLA YA DHAMBI “Mashal” Zab 8:4-8
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal” Zab 8:4-8 Mkuu MUNGU Mfalme ADAM Mtawala Mwakilishi MALAIKA mungu DUNIA SHETANI
105
KANUNI ZA KIROHO Zaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28 Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki? Umemfanya ‘punde kidogo’ kuliko Mungu, ukamvika taji ya ‘Utukufu’ na Heshima; kisha ukamtawaza ‘Juu ya’ kazi zote za mikono yako …
106
KANUNI ZA KIROHO Zaburi 8:4-8, Mwanzo 1:26-28 … na ukaviweka vitu vyote ulivyoviumba wewe, ‘chini ya’ miguu yake; wanyama wote, ndege wote, samaki na kila kitu kipitacho katika njia za maji.
107
KABLA YA DHAMBI “Mashal” Zab 8:4-8
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal” Zab 8:4-8 Mkuu MUNGU Mfalme ADAM Mtawala Mwakilishi MALAIKA mungu DUNIA SHETANI
108
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
109
BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI
KANUNI ZA KIROHO BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI
110
BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
111
BAADA YA DHAMBI SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA DHAMBI SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM MUNGU SHETANI MALAIKA DUNIA ADAM
112
MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA DHAMBI Shetani akakaa katika
nafasi ya Adam na akavaa vyeo vyote vya Adam Mkuu Yohana 16:11 MUNGU Mfalme Waefeso 2:1-2 SHETANI Mtawala 1Yohana 5:19 Mwakilishi Luka 4:5-8 MALAIKA mungu 2Korintho 4:3-4 DUNIA ADAM
113
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga 2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii 1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa Ulimwengu Yoh 14:30 – Mkuu wa Ulimwengu Yoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
114
BAADA YA DHAMBI Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15
MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA DHAMBI Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15 Mkuu Yohana 16:11 MUNGU Mfalme Waefeso 2:1-2 SHETANI Mtawala 1Yohana 5:19 Mwakilishi Luka 4:5-8 MALAIKA mungu 2Korintho 4:3-4 DUNIA ADAM
115
BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI
KANUNI ZA KIROHO BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI
116
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
117
BAADA YA WOKOVU Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23
MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA WOKOVU Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23 Mkuu MUNGU + ADAM - 2 Mfalme MALAIKA Mtawala Mwakilishi SHETANI mungu DUNIA ADAM - 1
118
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
119
MAMLAKA YA MKRISTO Ufunuo 5:9-10 9 Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa (kanisa).
120
MAMLAKA YA MKRISTO Ufunuo 5: Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao wanamiliki dunia.’’
121
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8 Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
122
KANUNI ZA KIROHO Warumi 3:23/Warumi 5:12-19 Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake, ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.
123
KANUNI ZA KIROHO Waefeso 2:1-6/Ufunuo 5:8-10 Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva katika bustani ya Eden.
124
KANUNI ZA KIROHO Waefeso 1:18-23/2:1-6 Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia ya Wokovu wa Yesu Kristo.
125
KANUNI ZA KIROHO Baada ya Wokovu, mtu wa Mungu huyo, anajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake, ili kumrudishia mamlaka na uweza tuliyopoteza katika bustani ya Eden, kwa njia ya dhambi.
126
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
127
Yohana 17:22 ‘Baba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’;
KANUNI ZA KIROHO Bwana Yesu aliomba hivi: Yohana 17:22 ‘Baba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’; ‘yaani watu walioniamini, walinipokea maishani mwao na wanaishi kwa kanuni zangu za kiroho’
128
KANUNI ZA KIROHO ‘Utukufu’ huo, ni Roho Mtakatifu yule yule aliyepewa Adam wa kwanza, ili tuweze kuutawala ulimwengu wa mwili kwa Nguvu na Uweza wa Mungu. Zaburi 8:4-8
129
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8 Huwezi kutawazwa juu ya kazi za mikono ya Mungu, pasipo kwanza kuvikwa Nguvu za Mungu ( Taji ya UTUKUFU na heshima). = “Kutawazwa”
130
KANUNI ZA KIROHO Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupamba na ulimwengu wa mwili ambao huwa wakati mwingine, unakataa tu kufanya kazi vile inavyotakiwa au vile ilivyotegemewa.
131
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Biashara Zaburi 8:4-8 Shamba Mifugo Masomo Familia Kazi Afya Mipango Haiwezekani kuitawala Dunia pasipo nguvu (utukufu) wa Mungu
132
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Kwamba … Nguvu za Mungu zinaweza kukuvusha na kukufanikisha pale ambapo kanuni za kawaida za kimwili (za kiasili) zinapogoma kufanya kazi.
133
KANUNI ZA KIROHO ‘Hivyo Basi mtu wa Mungu akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo yasiyoonekana (mambo ya rohoni) yaani Imani.
134
KANUNI ZA KIROHO Na kwa namna Mungu alivyousuka ulimwengu wa dunia hii, ni hakika ya kwamba, vitu tunavyotaka vifanyike katika ulimwengu wa mwili, ni sharti kwanza vifanyike katika ulimwengu wa roho.
135
KWANINI ROHO MTAKATIFU ‘nguvu fulani za kiroho’.
Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.
136
KANUNI ZA KIROHO Shetani alipomwangusha Adam katika nafasi yake (kiroho), yeye ndiye akashika mamlaka na nguvu za kiroho juu ya dunia yote. Warumi 5:12-14
137
KANUNI ZA KIROHO Nafasi hiyo ya kiroho juu ya dunia, ilimwezesha kutawala ulimwengu wa kiroho, hata kuwa na uwezo wa kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili. Yoh 12:31/14:30/16:11
138
Ndio maana; KANUNI ZA KIROHO Wachawi, Waganga wa Kienyeji na
Wazee wa Mila (ukoo) Wana uwezo wa kishetani (kiroho) wa kusababisha mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
139
KANUNI ZA KIROHO Hii ni kudhihirisha ukweli wa kanuni ya Mungu kwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili, kama huna mamlaka na nguvu za kiroho (ulimwengu wa roho). Zab 8:4-8, Mwa 1:26-28
140
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Na ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho wake Mtakatifu, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho (Nguvu za ajabu).
141
KANUNI ZA KIROHO Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupamba na ulimwengu wa mwili ambao huwa wakati mwingine, unakataa tu kufanya kazi vile inavyotakiwa au vile ilivyotegemewa.
142
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa Nguvu za ajabu za Roho Mtakatifu”.
143
KANUNI ZA KIROHO Na kwa namna Mungu alivyousuka ulimwengu wa dunia hii, ni hakika ya kwamba, vitu tunavyotaka vifanyike katika ulimwengu wa mwili, ni sharti kwanza vifanyike katika ulimwengu wa roho.
144
KANUNI ZA KIROHO Hii ni kudhihirisha ukweli wa kanuni ya Mungu kwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili, kama huna mamlaka na nguvu za kiroho (ulimwengu wa roho). Zab 8:4-8, Mwa 1:26-28
145
KWANINI ROHO MTAKATIFU ‘nguvu fulani za kiroho’.
Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.
146
KANUNI ZA KIROHO Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia; kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho, kwa msaada wa nguvu za kiroho
147
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
148
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Ndio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
149
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Ndio maana Mungu ametupa Roho wake, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za ajabu za Roho Mtakatifu.
150
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Namna ya Kupata ‘Msaada na Nguvu’ za ajabu za Roho Mtakatifu
151
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Ni jambo moja kuwa Roho, ni jambo jingine kuwa na nguvu zake. Eti kwasababu una Roho Mtakatifu, haimaanishi utapata msaada na nguvu zake moja kwa moja.
152
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano wa; Wanafunzi wa Yesu Yoh 20:20-22, Luka 24:49, Mdo 1:8, Mdo 2:1-4
153
Yohana 20:20-22 Yesu akawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;
154
(Pamoja na kwamba ameshawapa Roho Mtakatifu)
Luka 24:49 (Pamoja na kwamba ameshawapa Roho Mtakatifu) “Tazama nawaletea ahadi ya Baba; Hivyo msiondoke humu mjini, mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu (Nguvu za Mungu).
155
Matendo 1:8 8 “Nanyi mtapokea nguvu, akiisha kuja Roho Mtakatifu juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu, tangu hapa Jerusalem hata mwisho wa nchi.
156
Matendo 2:1-4 “Na walipokuwa wamekusanyika pamoja; ghafla kukaja uvumi wa upepo wa kasi, wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kunena kwa lugha kama Roho alivyowajalia kutamka.
157
TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU
Yoh 20: Mdo 2:1-4 Walipokea Walipokea Roho Nguvu wa za Mungu Mungu
158
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Ni jambo moja kuwa Roho, ni jambo jingine kuwa na nguvu zake. Eti kwasababu una Roho Mtakatifu, haimaanishi utapata msaada na nguvu zake moja kwa moja.
159
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Njia rahisi ya kupata msaada na Nguvu za Roho Mtakatifu maishani mwako (duniani), ni sisi watu wa Mungu kuwa na Ushirika mzuri naye.
160
Roho Mtakatifu asipopata heshima ya Mungu, hawezikukupa
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu asipopata heshima ya Mungu, hawezikukupa msaada na nguvu zake.
161
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Heshima na Ushirika mzuri na Roho, vinakuja baada ya mtu kumtambua na kumfahamu vizuri Roho Mtakatifu katika Nafsi yake.
162
KANUNI ZA KIROHO ZA USHINDI
Ushirika na Roho Mtakatifu
163
ROHO MTAKATIFU Roho Mtakatifu Ni Nani?
164
1. Roho Mtakatifu Ni NAFSI ya tatu ya Mungu Mwenyezi
165
1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezi
ROHO MTAKATIFU NI NANI? 1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezi
166
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Katika Mungu Mwenyezi Kuna NAFSI tatu; Mungu Baba Mungu Mwana Roho Mtakatifu
167
1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezi Math 28:18-20, Matendo 5:1-5,
ROHO MTAKATIFU NI NANI? 1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezi Math 28:18-20, Matendo 5:1-5,
168
Math 28:18-20 (i) Anatajwa pamoja na Mungu Baba na Mungu Mwana
ROHO MTAKATIFU NI NANI? Math 28:18-20 (i) Anatajwa pamoja na Mungu Baba na Mungu Mwana ‘Mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu’
169
1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezi Matendo 5:1-5
ROHO MTAKATIFU NI NANI? 1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezi Matendo 5:1-5 ‘Anania, kwanini kumdanganya Roho Mtakatifu? Hukumdanganya Mwanadamu, bali Mungu’
170
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Kwasababu; (ii) Ana Sifa zote za Uungu (Divine Attributes)
171
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
ANA SIFA ZOTE ZA UUNGU 1. Ni wa Milele (Ebr 9:14, Gen 1:1-2) 2. Ni Mtakatifu (Math 3:16-17, Math 28:19) 3. Ni Uwepo wote (Zab 139: 7-11) 4. Ni Mwenye Ujuzi (1Kor 2:11, Rom 8:27) 5. Ni Mwenye Nguvu zote (Luk 1:35/4:14,18,19/24:49, Mdo 1:8)
172
ROHO MTAKATIFU 2. Roho Mtakatifu Ni Nani?
173
2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya Mungu Mwenyezi (Luka 4:14, 18-19)
174
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano wa; Bwana Yesu Kristo Luka 4:1, 14
175
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 4:1, 14 1 Yesu alipokwisha kubatizwa, aliongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani katika maombi ya siku 40.
176
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 4:1, Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya katika nguvu za Roho Mtakatifu.
177
TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU
Luka 4: Luka 4:14 Alitembea kwa Alitembea na Uongozi Nguvu wa Roho za Roho Mtakatifu Mtakatifu
178
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 10:38 38 Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu; naye akazunguka kote kote akitenda mema na kuwaponya wote walioteswa na ibilisi shetani.
179
NAFASI YA BABA BABA : KUAGIZA AU KUSEMA
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU NAFASI YA BABA BABA : KUAGIZA AU KUSEMA
180
NAFASI YA MWANA MWANA : KUTENDA AU KUTEKELEZA
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU NAFASI YA MWANA MWANA : KUTENDA AU KUTEKELEZA
181
NAFASI YA ROHO MTAKATIFU ROHO : KUDHIHIRISHA AU KULETA KTK UHALISI
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU NAFASI YA ROHO MTAKATIFU ROHO : KUDHIHIRISHA AU KULETA KTK UHALISI
182
NAFASI ZAO KATIKA UTATU “Tufanye mtu kwa sura na kwa mfano wetu …”
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU NAFASI ZAO KATIKA UTATU Ni Baba: Aliyesema “Tufanye mtu kwa sura na kwa mfano wetu …” (Mwa 1:26)
183
NAFASI ZAO KATIKA UTATU Aliyekwenda kufinyanga udongo
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU NAFASI ZAO KATIKA UTATU Ni Mwana: Aliyekwenda kufinyanga udongo Kwa umbo la mtu (Mwa 2:7)
184
NAFASI ZAO KATIKA UTATU Aliyeatamia ule udongo
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU NAFASI ZAO KATIKA UTATU Ni Roho Mtakatifu: Aliyeatamia ule udongo Akaubadilisha na kuwa nafsi hai ya mtu (Mwa 2:7)
185
“Tuwashe nuru ulimwenguni kwani giza limekuwa nene”
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Mwanga Ni Baba: Aliyesema “Tuwashe nuru ulimwenguni kwani giza limekuwa nene” (Mwa 1:1-3)
186
Aliyekwenda kufinyanga mpira (tufe) la udongo kwa umbo la Jua.
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Mwanga Ni Mwana: Aliyekwenda kufinyanga mpira (tufe) la udongo kwa umbo la Jua. (Yohana 1:1-3)
187
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Mwanga Ni Roho Mtakatifu:
Aliyekwenda kuliatamia lile tufe (mpira) wa jua la udongo, hata kuliwasha kiberiti mpaka hivi leo linaendelea kuungua na kuwaka bila kuongezewa petrol wala diesel (Mwa 1:1-3)
188
“Mguse kipofu machoni ili apata kuona tena”
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Kipofu Baba: Aliyesema “Mguse kipofu machoni ili apata kuona tena” (Marko 8:22-23)
189
Aliyekwenda kuweka mikono yake katika macho ya kipofu.
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Kipofu Mwana: Aliyekwenda kuweka mikono yake katika macho ya kipofu. (Marko 8:22-23) (Yohana 1:1-3)
190
Aliyerudisha kwa upya zile goroli ndani ya macho ya aliyekuwa kipofu
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Kipofu Roho Mtakatifu: Aliyerudisha kwa upya zile goroli ndani ya macho ya aliyekuwa kipofu (Marko 8:22-23)
191
“Nenda kamfufue Lazaro”
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Lazaro Baba: Aliyesema “Nenda kamfufue Lazaro” (Yohana 11:1-46)
192
Aliyekwenda kumwita Lazaro kutoka kaburini.
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Lazaro Mwana: Aliyekwenda kumwita Lazaro kutoka kaburini. (Yohana 11:1-46)
193
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Lazaro Roho Mtakatifu: Aliyemfufua Lazaro kutoka katika wafu (Yohana 11:1-46)
194
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Warumi 8:11 “… ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye (Roho) aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu, ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho wake akaaye ndani yenu.”
195
“Nenda kafanya muujiza”
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Harusini Baba: Aliyesema “Nenda kafanya muujiza” (Yohana 1:1-11)
196
Aliyekwenda kuagiza mabalasi yajazwe maji.
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Harusini Mwana: Aliyekwenda kuagiza mabalasi yajazwe maji. (Yohana 1:1-11)
197
Aliyegeuza maji kuwa divai
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Harusini Roho Mtakatifu: Aliyegeuza maji kuwa divai (Yohana 1:1-11)
198
“Tufanye mkate kwa ajili ya chakula cha asubuhi …”
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Mkate Baba: Aliyesema “Tufanye mkate kwa ajili ya chakula cha asubuhi …” (Mwa 1:26)
199
Aliyekwenda kufinyanga unga wa ngano kwa ajili ya mkate
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Mkate Mwana: Aliyekwenda kufinyanga unga wa ngano kwa ajili ya mkate (Mwa 2:7)
200
Aliyekwenda kuuatamia ule unga
MUNGU MMOJA, NAFSI TATU Kwa Mfano wa Mkate Roho Mtakatifu: Aliyekwenda kuuatamia ule unga Na kwa joto lake, akaubadilisha na kuwa mkate safi kwa chakula (Mwa 2:7)
201
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Ni Roho Mtakatifu aliyewezesha uumbaji kukamilika. Nguvu ya Uumbaji (Mwa 1:1-3)
202
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Ni Roho Mtakatifu aliyemleta Yesu katika mwili, kwenye tumbo la Mariam (Luka 1:35)
203
ROHO MTAKATIFU Luka 1:30-35 Malaika akamwambia Mariam, “Roho Mtakatifu wa Mungu atakujilia juu yako, na Nguvu zake aliye juu zitakufunuka; Nawe utazamzaa Mtakatifu Mwana wa Mungu na kumwita Jina lake Yesu”.
204
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Ni Roho Mtakatifu aliyempaka Yesu Upako au uwezo wa miujiza. (Mdo 10:38) (Luka 11:20)
205
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Ni Roho Mtakatifu aliyemwezesha Yesu kupanda Msalabani. (Ebr 9:14)
206
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Ni Roho Mtakatifu aliyemfufua Yesu kutoka katika wafu / kaburini (Rumi 8:11)
207
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Ni Roho Mtakatifu aliyemnyakua Yesu kwenda mbinguni. (Matendo 1:2) (Daniel 7:13-14)
208
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Ni Roho Mtakatifu aliyefungua bahari ya shamu kwa ajili ya Israel kupita. (Kut 14:10-22)
209
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Ni Roho Mtakatifu aliyeshuka kama moto wakati wa Nabii Eliya/Elisha (1Falme 18:36-39) (2Falme 1:1-18)
210
2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya Mungu Mwenyezi (Luka 4:1, 14, 18-19)
211
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mtume Paulo anatupa Mfano; Uzima wa Binadamu 1Wakorintho 2:11-14
212
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
1Kor 2:1-16 12 Basi hatukupokea roho ya dunia bali Roho yule atokaye kwa Mungu, ili tuweze kuelewa kile kipawa ambacho Mungu ametupatia bure.
213
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
1Kor 2:1-16 11 Kwa maana ni nani anayejua mawazo ya mtu isipokuwa roho iliyo ndani ya huyo mtu? Vivyo hivyo hakuna mtu ajuaye mawazo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.
214
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Roho, Nafsi na Mwili Roho Nafsi Mwili
215
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Ufunuo 3:20 20 Tazama nasimama mlangoni nabisha; mtu akisikia sauti yangu, na kufungua mlango (wa nyumba yake), nitaingia kwake; nami nitakula “naye” (huyo mtu), na yeye pamoja nami.
216
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Ufunuo 3:20 Kumbe, kuna nyumba (mwili wa mtu) na mwenye nyumba (huyu “mtu”) aliyefungua huo mlango wa nyumba (yaani moyo wake)
217
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
2Petro 1:12-15 Nitakuwa tayari kuwakumbusha mambo niliyokwisha kuwaambia, wakati huu bado nipo kwenye “maskani” (nyumba) hii …
218
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
2Petro 1:12-15 … kwani siku zimekaribia za mimi kuwekwa mbali na “maskani” (nyumba) hii (yaani kutengana na mwili wake), kama Bwana Yesu alivyokwisha kunionyesha.
219
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
2Petro 1:12-15 Najitahidi kufanya hivi (kuwafundisha tena) ili hata baada ya kufariki kwangu, (kutengwa na ile “maskani” yake) mpate kuyakumbuka mambo haya niliyokuwa nikisema nanyi.
220
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Roho, Nafsi na Mwili Roho Nafsi Mwili
221
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Yakobo 2:26 “Kwa maana, kama vile Mwili pasipo roho, Umekufa (hakuna uzima); vivyo hivyo, imani pasipo matendo, imekufa”
222
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
John 6:63 Roho ndiye atiaye uzima, mwili haufai kitu. Maneno yangu ni Roho na uzima.
223
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
John 6:63 It is the spirit that giveth life; the flesh profiteth nothing. The words that I speak unto you, they are spirit, and they are life.
224
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
1Kor 2:1-16 11 Kwa maana ni nani anayejua mawazo ya mtu isipokuwa roho iliyo ndani ya huyo mtu? Vivyo hivyo hakuna mtu ajuaye mawazo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.
225
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
1Kor 2:11 Kama uzima wa mtu u katika roho yake, Mtume Paul anajaribu kutupa picha hiyo hiyo kwamba; uzima wa Mungu, ni Roho wa Mungu.
226
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
1Kor 2:11 Kama binadamu zi mtu pasipo roho yake, basi Mtume Paul anajaribu kutupa picha hiyo hiyo kwamba; Mungu si Mungu, pasipo Roho wake.
227
Baba, Mwana na Roho Roho Mwana Baba
SEHEMU KUU ZA MUNGU Baba, Mwana na Roho Roho Mwana Baba
228
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
1Kor 2:1-16 11 Kwa maana ni nani anayejua mawazo ya mtu isipokuwa roho iliyo ndani ya huyo mtu? Vivyo hivyo hakuna mtu ajuaye mawazo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.
229
2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya Mungu Mwenyezi (Luka 4:1, 14, 18-19)
230
ROHO MTAKATIFU 3. Roho Mtakatifu Ni Nani?
231
3. Roho Mtakatifu Ni NAFSI ya tatu ya Mungu Mwenyezi
Roho Mtakatifu Ni Nani? 3. Roho Mtakatifu Ni NAFSI ya tatu ya Mungu Mwenyezi
232
3. Roho Mtakatifu ni Mtu Lakini si mwanadamu
Roho Mtakatifu Ni Nani? 3. Roho Mtakatifu ni Mtu Lakini si mwanadamu
233
3. Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu ni MTU (Nafsi iliyo hai) Nafsi + Roho
Roho Mtakatifu Ni Nani? 3. Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu ni MTU (Nafsi iliyo hai) Nafsi Roho
234
Lakini si kila Mtu ni Binadamu.
Roho Mtakatifu Ni Nani? Binadamu wote ni Watu, Lakini si kila Mtu ni Binadamu. Kila binadamu ana Nafsi hai lakini si kila nafsi hai ina ubinadamu (mwili)
235
TOFAUTI YAKE Binadamu = Roho + Nafsi + Mwili Mtu = Roho + Nafsi
Roho Mtakatifu Ni Nani? TOFAUTI YAKE Binadamu = Roho + Nafsi + Mwili Mtu = Roho + Nafsi
236
TOFAUTI YAKE Binadamu = Roho + Nafsi + Mwili Mtu
Roho Mtakatifu Ni Nani? TOFAUTI YAKE Binadamu = Roho + Nafsi + Mwili Mtu
237
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwili NAFSI ROHO
238
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7 Mtu Fikra Hisia Maamuzi NAFSI ROHO
239
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2: Mtu Nyama Damu Mifupa Mwanadamu Mwili NAFSI ROHO
240
Lakini Mungu yuko hivi…
SEHEMU KUU ZA MUNGU Lakini Mungu yuko hivi…
241
SEHEMU KUU ZA MUNGU Math 28: Mtu Mungu Mwenyezi ROHO NAFSI
242
Math 28:18 Mtu SEHEMU KUU ZA MUNGU Umilele Uwezo Uwepo Ujuzi Uungu
Utakatifu Mungu Mwenyezi Uungu NAFSI
243
(Lakini si binadamu) kwasababu ana sifa zote za Mtu (Nafsi hai)
Roho Mtakatifu Ni Nani? (i). Roho Mtakatifu ni Mtu (Lakini si binadamu) kwasababu ana sifa zote za Mtu (Nafsi hai)
244
ROHO MTAKATIFU NI MTU Mtu (Rumi 8:27) Fikra (Efes 4:30) Hisia (1Kor12:11)Maamuzi NAFSI ROHO
245
(Math Maamuzi ROHO MTAKATIFU NI MTU Mtu (Rumi 8:27) Fikra
(Efes 4:30) Hisia (Math Maamuzi (12:22-32) NAFSI ROHO
246
(ii). Anatajwa kwa Viwakilishi vya Nafsi Hai. “Personal Pronouns”
Roho Mtakatifu Ni MTU (ii). Anatajwa kwa Viwakilishi vya Nafsi Hai. “Personal Pronouns”
247
ii. Anatajwa kwa Viwakilishi Nafsi ‘Personal Pronouns’ He, She na It.
Roho Mtakatifu Ni MTU ii. Anatajwa kwa Viwakilishi Nafsi ‘Personal Pronouns’ He, She na It.
248
Roho Mtakatifu Ni MTU Kwa Mfano; Yohana 14:26 na Yohana 16:13; Yesu alisema ‘Huyo’ Roho, atakapokuja, atawafundisha … atawakumbusha yote niliyosema.
249
Roho Mtakatifu Ni MTU Roho Mtakatifu angekuwa si mtu bali ni kitu (moto, mafuta, upepo), Yesu angesema ‘Hiyo roho, itakapokuja, itawafundisha na itawakumbusha yote niliyosema.
250
Roho Mtakatifu Ni MTU Lakini kwasababu ni mtu, Yesu alisema ‘Huyo’ Roho, atakapokuja, atawafundisha … atawakumbusha yote niliyosema.
251
The Holy Spirit Personality
Jesus said ‘When He comes, He shall lead you and He shall teach all what l’ve been saying’
252
The Holy Spirit Personality
Jesus didn’t say ‘When it comes, it shall lead you and it shall teach all what l’ve been saying’ No! No! No!
253
MTU NI NANI? Na sio Roho Mtakaifu peke yake Bali kiumbe yeyote asiye na mwili, Lakini ana Roho na Nafsi, Anakuwa ni mtu kamili; (Yaani Nafsi iliyo Hai). Kwa Mfano; Mapepo (Demons)
254
MAPEPO NI WATU Kwa Mfano; Mapepo (Demons) Ni viumbe wasio na mwili, Lakini ni roho zenye nafsi, Kwahiyo ni watu kamili; (Yaani Nafsi zilizo Hai).
255
(Marko 5:13) Maamuzi MAPEPO NI WATU Marko 1:1-20 Mtu (Marko 5:6) Fikra
(Marko 5:12) Hisia (Marko 5:13) Maamuzi NAFSI ROHO
256
MTU NI NANI? Roho + Nafsi = Mtu Mapepo ni watu (si wanadamu)
Malaika ni watu (si wanadamu) Mungu Baba ni Mtu (si binadamu) RohoMtakatifu ni Mtu (si Mwanadamu) Yesu Kristo ni zaidi ya mtu, ni Mwanadamu pia (B’coz of Mwili)
257
MTU NI NANI? Roho + Nafsi = Mtu Mapepo ni watu (si wanadamu)
Malaika ni watu (si wanadamu) Mungu Baba ni Mtu (si binadamu) RohoMtakatifu ni Mtu (si Mwanadamu) Yesu Kristo ni Mwanadamu pia B’coz of Mwili (1Tim 2:5)
258
MTU NI NANI? Yesu Kristo ni Mwanadamu pia B’coz of Mwili (1Tim 2:5)
“Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani, mwanadamu Yesu Kristo.”
259
MTU NI NANI? Yesu Kristo ni Mwanadamu pia B’coz of Mwili (Luka 19:10 )
“Kwa maana Mwana wa Adam, alikuja kutafuta na kuokoa, kilichopotea.”
260
MTU NI NANI? Yesu Kristo ni Mwanadamu pia B’coz of Mwili (Luke 19:10 )
“For the Son of man is come to seek and to save that which was lost.”
261
3. Roho Mtakatifu ni MTU (Nafsi) Kwasababu…
Roho Mtakatifu Ni Nani? 3. Roho Mtakatifu ni MTU (Nafsi) Kwasababu…
262
ANA SIFA ZOTE ZA MTU (PERSON)
Fikra Hisia M Maamuzi
263
SIFA ZA MTU (PERSONALITY)
(Rumi 8:27) Fikra (Efes 4:30) Hisia (Math Maamuzi (12:22-32) NAFSI ROHO
264
(Lakini si binadamu) kwasababu ana sifa zote za Mtu (Nafsi hai)
Roho Mtakatifu Ni Nani? Roho Mtakatifu ni Mtu (Lakini si binadamu) kwasababu ana sifa zote za Mtu (Nafsi hai)
265
Roho Mtakatifu Ni MTU Na ndio maana, Biblia inasema;
Anaongea (Mdo 13:2, Ufu 2:7,11,29) Anafurahi (Mdo 13:52) Anahuzunika (Efe 4:30) Anakataza (Mdo 16:6-7) Anaruhusu (Mdo 13:2-3, Mdo 16:8-10 Anaamua (1Kor 12: 1-4) Anachagua (Mdo 13: 1-3)
266
Roho Mtakatifu ni MTU Ina maana; ANA HISIA KAMA ZAKO Kwahiyo;
Anataka kutambulika Anataka kuheshimika Anataka kujulikana Anataka kupendwa Anataka kusemeshwa, n.k n.k.
267
Roho Mtakatifu ni MTU Ina maana; ANA HISIA KAMA ZAKO - Asipotambukila
- Asipoheshimika - Asipoulizwa - Asiposikilizwa - ANAHUZUNIKA - ANAZIMA UWEZO WAKE
268
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 ‘’17 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumtambui.
269
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 ‘’17 … Ninyi mnamjua (mnamtambua) kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu.
270
TABIA ZA ROHO MTAKATIFU
271
TABIA ZA ROHO MTAKATIFU
Anaumia haraka i.e. Ni ‘very delicate’ (kama glass ya thamani, lakini rahisi kuvunjika,) Mathayo 12:22-32
272
TABIA ZA ROHO MTAKATIFU
Tabia za Roho Mtakatifu ni, Mtulivu sana, Mtaratibu sana, Mpole sana, Anaumia haraka, LAKINI NDIYE MWENYE NGUVU ZOTE!!!
273
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Siri ya Ushindi wetu Upo katika Kumtambua Roho Mtakatifu, katika Nafasi zake; Yeye ni Mungu Yeye ni Nguvu ya Mungu Yeye ni Mtu - Nafsi hai
274
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Kumtambua Roho Mtakatifu, Kama Mtu – Kumshirikisha yote Nguvu ya Mungu – Kumtegemea Kama Mungu – Kumtii 100%
275
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Njia rahisi ya kupata msaada na Nguvu za Roho Mtakatifu maishani mwako (duniani), ni sisi watu wa Mungu kuwa na Ushirika mzuri naye.
276
Roho Mtakatifu asipopata heshima ya Mungu, hawezikukupa
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu asipopata heshima ya Mungu, hawezikukupa msaada na nguvu zake.
277
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Heshima na Ushirika mzuri na Roho, vinakuja baada ya mtu kumtambua na kumfahamu vizuri Roho Mtakatifu katika Nafsi yake.
278
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Kanisa la Kwanza walifaulu katika kujua hilo, kwasababu Yesu alisha waonya mapema, kabla ya kumleta Roho wake. Yohana 16:1-16,22 Yohana 14:12-17
279
SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA
Baada ya miaka 300 tu ya injili, kanisa la kwanza walikuwa wameuteka ulimwengu wote uliokuwa unakaliwa na watu.
280
SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA
Kanisa lilikuwa nguvu kubwa isiyoweza kuzuilika au kushindwa. Waebrania 11:32-38 Matendo 17:6 ‘These that have turned the world upside down are come here also’
281
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Siri ya Ushindi wa KANISA la Kwanza
282
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA 1. Walimtambua Roho Mtakatifu (katika Utu wake)
283
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA 2. Walimthamini Roho Mtakatifu (katika Nafasi yake)
284
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA 3. Walimshirikisha mambo yao yote (Katika Maombi)
285
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA 4. Walimsikiliza alichosema (Maagizo yake)
286
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA 5. Walimtii Roho (kama Kiongozi wao)
287
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA 1. Walimtambua Roho Mtakatifu 2. Walimthamini Roho Mtakatifu 3. Walimshirikisha Roho Mtakatifu 4. Walimsikiliza Roho Mtakatifu 5. Walimtii Roho Mtakatifu
288
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. SOMA KITABU CHA MATENDO YA MITUME Kila sura inamtaja Roho Mtakatifu Au Kazi zake
289
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. SOMA KITABU CHA MATENDO YA MITUME Kila sura inamtaja Roho Mtakatifu Au Kazi zake ~ Kwa mfano ~
290
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 1:2 Roho Mtakatifu anatajwa kumnyakua Yesu mawinguni siku alipopaa juu mbinguni.
291
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 1:8 Yesu anamtaja Roho kuwa ndiye atakayewatia nguvu kanisa kuhubiri injili.
292
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 2:1-4; Roho anaonekana akiwajaza nguvu kanisa kuanza kazi ya injili.
293
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 2:37-47; Roho Mtakatifu anawachoma mioyo, watu kwa ile injili ya Petro, Wakaokoka watu 8,000.
294
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 3:6-7; Petro anaonekana akimponya kilema kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
295
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 4:8; Petro akijaa Roho Mtakatifu, anawajibu wakuu wa dini katika kikao cha baraza.
296
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 4:31; Roho anatajwa kuwajaza Kanisa, nguvu zake kwa upya, ili kuukabili upinzani.
297
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 5:1-5; Roho Mtakatifu anamnong’oneza Petro kufichua uongo wa Anania na Safira.
298
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 6:10; Roho Mtakatifu anamtia Stefano hekima aliyowashinda wapinzani wake wote.
299
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 7:51; Wayahudi wanaambiwa, kulipinga uamsho ni kumpinga kwa Roho Mtakatifu.
300
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 8:39; Roho Mtakatifu ananyakua Filipo kutoka sehemu moja na kumpeleka kwingine.
301
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 9:17-19; Anania anasali na Sauli anajazwa Roho Mtakatifu na upofu unamtoka.
302
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo10:44-47; Roho Mtakatifu anawashukia familia ya Kornelio nao wananena kwa lugha.
303
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 11:27-30; Roho Mtakatifu anawaonyesha kanisa, kuhusu njaa kubwa itakayokuja. (Yohana 16:13)
304
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 12:1-5-17; Kanisa linatiwa nguvu na Roho, ili kuomba kwa ajili ya Petro gerezani. (Warumi 8:26-27)
305
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 13:1-3; Roho Mtakatifu ndiye anayewachagua watu wa kingia katika huduma ya injili. (1Samuel 16:1-13)
306
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 14: 8-18; Kwa uweza wa Roho, Mitume wapindua kijiji kizima kwa miujiza ya nguvu za ajabu za Kristo.
307
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 15:1-12; Roho Mtakatifu anatajwa kuwajaza mataifa kama alivyowajaza Wayahudi. (Matendo 2:1-4)
308
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Matendo 16:6; Roho Mtakatifu anawakataza kuhubiri katika pande za nchi za Asia. Nao Wanatii! (Isaya 1:19)
309
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. ~ My Best ~ Matendo 5:32; Roho Mtakatifu anatajwa na mitume katika baraza, kama shahidi mwenzao.
310
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. ~ My Best ~ Matendo 15:28; Roho Mtakatifu anatajwa na Wazee wa Kanisa la Kwanza, kuwa mmoja wa waliohusika katika kuandika waraka wa mapokeo, kwa wanaumini wapya wa mji mwingine.
311
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA KWANZA. Walimtambua na kumpokea Roho Mtakatifu katika maisha yao, wao kama kanisa la Kristo, na kumfanya Roho Mtakatifu kama mwenzao au mwenza wao (partner)
312
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Ni jambo moja kuwa Roho, ni jambo jingine kuwa na nguvu zake. Eti kwasababu una Roho Mtakatifu, haimaanishi utapata msaada na nguvu zake moja kwa moja.
313
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Njia rahisi ya kupata msaada na Nguvu za Roho Mtakatifu maishani mwako (duniani), ni sisi watu wa Mungu kuwa na Ushirika mzuri naye.
314
Roho Mtakatifu asipopata heshima ya Mungu, hawezikukupa
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu asipopata heshima ya Mungu, hawezikukupa msaada na nguvu zake.
315
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Heshima na Ushirika mzuri na Roho, vinakuja baada ya mtu kumtambua na kumfahamu vizuri Roho Mtakatifu katika Nafsi yake.
316
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Kanisa la Leo Tunatakiwa Kujua kwamba…
317
1. Ni Mungu Mwenyezi 2. Ni Nguvu ya Mungu 3. Roho Mtakatifu ni Mtu
ROHO MTAKATIFU NI NANI Roho Mtakatifu ni; 1. Ni Mungu Mwenyezi 2. Ni Nguvu ya Mungu 3. Roho Mtakatifu ni Mtu
318
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Siri ya Ushindi wetu Upo katika Kumtambua Roho Mtakatifu, katika Nafasi zake; Yeye ni Mungu Yeye ni Nguvu ya Mungu Yeye ni Mtu - Nafsi hai
319
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Kumtambua Roho Mtakatifu, Kama Mtu – Kumshirikisha yote Nguvu ya Mungu – Kumtegemea Kama Mungu – Kumtii 100%
320
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Kutokana na uthamani wa Roho Mtakatifu (delicate) na tabia yake ya umakini (sensitive) na Mwitikio wake (response); Yesu alijua, asipomtambulisha Roho Mtakaifu vizuri kwa kanisa, watamdharau na kumpuuza, eti kwasababu anatajwa namba tatu.
321
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Matokeo yake ni kwamba, Roho Mtakatifu ataumia sana na kuhuzunishwa sana; kwahiyo, na yeye atazificha nguvu zake na atazima uwezo wake na msaada wake, aliokuja nao kwa kanisa.
322
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Kwa tabia za Roho Mtakatifu, Yaani, Kwa jinsi alivyo mtulivu, Kwa jinsi alivyo mtaratibu, Kwa jinsi alivyo mkimya, Kwa jinsi alivyo mpole, na Kwa jinsi anavyoumia haraka Kwa vile alivyo ‘delicate’ (kama glass ya thamani, lakini rahisi kuvunjika,)
323
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Ndio maana, Bwana Yesu alichukua muda mrefu sana, kumtambulisha Roho mtakatifu kwa kanisa, ili kanisa lisije kufanya kosa hilo, la kumtompa Roho heshima yake.
324
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Pamoja na upole wake, Bwana Yesu pia alijua jinsi Roho Mtakatifu alivyo ‘very strict’ (jinsi alivyo na msimamo mkali sana), yaani yuko ‘very strict’ kuliko Mungu Baba na ni ‘strict’ kuliko Mungu Mwana Bwana Yesu mwenyewe.
325
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Pamoja na upole wake, Roho Mtakatifu yuko ‘very strict’ kuliko Baba na Mwana. Soma mwenyewe uone, Mathayo 12:22-32
326
SIRI YA KANISA LA LEO Siri ya Kanisa la leo, ipo katika;
1. Kumtambua Roho Mtakatifu 2. Kumthamini Roho Mtakatifu 3. Kumshirikisha Roho Mtakatifu 4. Kumsikiliza Roho Mtakatifu 5. Kumtii Roho Mtakatifu
327
SIRI YA KANISA LA LEO Bwana Yesu alisema; ‘Ulimwengu hauwezi kumpokea kwasababu haumtambui, bali ninyi mnamtambua, kwahiyo atakaa kwenu na kuwa ndani yenu’ (Yohana 14:17).
328
SIRI YA KANISA LA LEO Siri ya Kanisa la leo, ipo katika; Kumbe siri ya ushindi na nguvu za Mungu maishani mwako, ni kumjua au kumtambua na kumheshimu tu Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu akipata heshima yake, anafungulia mito ya Baraka na nguvu za Mungu kwako.
329
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Njia rahisi ya kupata msaada na Nguvu za Roho Mtakatifu maishani mwako (duniani), ni sisi watu wa Mungu kuwa na Ushirika mzuri naye.
330
Roho Mtakatifu asipopata heshima ya Mungu, hawezikukupa
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu asipopata heshima ya Mungu, hawezikukupa msaada na nguvu zake.
331
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Nguvu za Roho Mtakatifu
Heshima na Ushirika mzuri na Roho, vinakuja baada ya mtu kumtambua na kumfahamu vizuri Roho Mtakatifu katika Nafsi yake.
332
ROHO MTAKATIFU YUKO WAPI?
333
ROHO MTAKATIFU YUKO WAPI? Yohana 16:7
334
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 16:7 “Lakini amin nawaambia, yafaa Mimi niondoke kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi (Roho Mtakatifu) hatakuja kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.”
335
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 7:37-39
336
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 7:37-39 37 Siku ile ya mwisho ya Sikukuu, siku ile kuu, wakati Yesu akiwa amesimama huko, akapaza sauti Yake akasema, “Kama mtu ye yote anaona kiu na aje Kwangu anywe.
337
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 7:37-39 39 Yesu aliposema haya alimaanisha Roho Mtakatifu ambaye wote waliomwamini wangempokea, kwani mpaka wakati huo, kwasababu …
338
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 7:37-39 39 Roho alikuwa hajaletwa, kwa kuwa Yesu alikuwa bado hajatukuzwa (hajaondoka kwenda katika Utukufu).
339
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-17
340
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-17 12 Amin, amin, nawaambia, ye yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba... 16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele.
341
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-17 17 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu. 18 Sitawaacha ninyi yatima, naja kwenu.
342
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI?
343
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-17 1. Yupo Pamoja Nawe (He is with you)
344
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yoel 2:28 ‘Katika siku za mwisho, asema Bwana, nitamwaga Roho wangu juu ya wote wenye mwili’. i.e. Kila mwenye mwili, Roho Mtakatifu yupo pamoja naye
345
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-17 1. Yupo Pamoja Nawe (He is with you) Kazi yake: Kukushuhudia (Yoh 16:8)
346
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yoh 16:8 “Huyo Roho atakapokuja, atashuhudia ulimwengu kwa habari ya dhambi, haki na hukumu.”
347
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-17 2. Yupo Ndani yako (He is in you)
348
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yoh 14:17 Kwasasa, Roho Yupo nanyi, (lakini baadaye) atakuwa ndani yenu.
349
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Rum 8:9 Yeye asiye naye Roho, huyo si mali ya Kristo.
350
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yoh 3:3-6 Amini amini nakwambia, mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuona Ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili, kilichozaliwa kwa Roho ni Roho.
351
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-17 2. Yupo Ndani yako (He is in you) Kazi yake: Kutuzaa mara ya pili katika Uzima wa milele.
352
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
3. Huwa anakuja juu yako (He is upon you) Matendo 1:8 Luka 24:49
353
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Matendo 1:8 “Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia Roho Mtakatifu juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu … hadi miisho ya dunia.’’
354
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Luka 24:49 “Tazama nawaletea juu yenu ahadi ya Baba Yangu (RohoMtakatifu), lakini kaeni (subirini) humu mjini Yerusalemu mpaka mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
355
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Matendo 1:8 3. Huwa anakuja juu yako (He is upon you) Kazi yake: Kutupa uwezo (upako) wa Kuifanya kazi ya Mungu.
356
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
1Petro 4:11 “ …Ye yote ahudumuye maneno hana budi kuhudumu kwa nguvu zile apewazo na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo…”
357
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Matendo 10:38 “ … Jinsi Mungu alivyompaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu; naye akawa akizunguka katika miji na vijiji, akiwaponya watu na kuwafungua wote walioonewa na ibilisi…”
358
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Kumbe basi; Pasipo nguvu za Mungu, (UTUKUFU) mtu wa Mungu huwezi kufanikiwa katika maisha yako hapa duniani.
359
Kazi za Roho Mtakatifu Yohana 14:26 Yohana 16:13
360
1. Kutushuhudia kuhusu Dhambi, Haki na Hukumu (Conviction)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 1. Kutushuhudia kuhusu Dhambi, Haki na Hukumu (Conviction)
361
1. Kutushuhudia na Kutushawishi ‘wakachomwa mioyo yao’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 1. Kutushuhudia na Kutushawishi Yohana 16:7-8, Warumi 8:16, Mfano; Matendo 2:37-41 ‘wakachomwa mioyo yao’
362
2. Kutuzaa mara ya Pili na Kuumba Wokovu Ndani yetu (Salvation)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 2. Kutuzaa mara ya Pili na Kuumba Wokovu Ndani yetu (Salvation)
363
2. Kutuzaa ktk Maisha Mapya ‘wakachomwa mioyo yao’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 2. Kutuzaa ktk Maisha Mapya (Wokovu/Kuokoka) Yohana 1:12-13, Yohana 3:3-6, 1Wakorintho 12:3 Mfano; Matendo 2:37-41 ‘wakachomwa mioyo yao’
364
3. Kutujaza Nguvu za Mungu Ndani yetu na Juu yetu (Power)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 3. Kutujaza Nguvu za Mungu Ndani yetu na Juu yetu (Power)
365
‘Akatembea kwa Nguvu za Roho na kuwa mtu maarufu ktk Uyahudi’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 3. Kutujaza Nguvu za Mungu Luka 24:49, Matendo 1:8 Mfano; Luka 4:1,14, 18-19 ‘Akatembea kwa Nguvu za Roho na kuwa mtu maarufu ktk Uyahudi’
366
4. Kutuongoza katika Maisha ya Kila siku (Guide)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 4. Kutuongoza katika Maisha ya Kila siku (Guide)
367
‘Wakakatazwa na Roho kwenda kuhubiri Asia, nao wakatii!’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 4. Kutuongoza na Kutupasha habari Yohana 16:13, Warumi 8:14 Mfano; Matendo 16:6; ‘Wakakatazwa na Roho kwenda kuhubiri Asia, nao wakatii!’
368
5. Kutufundisha Neno la Mungu kwa Ufunuo (Revelation)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 5. Kutufundisha Neno la Mungu kwa Ufunuo (Revelation)
369
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU Yohana 14:26, 1Wakor 2:9-12 Mfano;
5. Kutufundisha na Kutufunulia Siri za Neno la Mungu Yohana 14:26, 1Wakor 2:9-12 Mfano; Luka 24:44-49; ‘Akawafunulia akili zao, wapate kuelewa maandiko!’
370
6. Kutusaidia katika Kuomba na Kutuombea (Intercession)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 6. Kutusaidia katika Kuomba na Kutuombea (Intercession)
371
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU Warumi 8:26-27, 1Wakor 2:9-11 Mfano;
6. Kutuwezesha Kuomba sawa na Mapenzi ya Mungu Warumi 8:26-27, 1Wakor 2:9-11 Mfano; Matendo 12:1-5-17; Kanisa linatiwa nguvu na Roho, ili kuomba kwa ajili ya Petro gerezani.
372
Kutusaidia katika Kuamwabudu Mungu katika Roho na Kweli
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 7. Kutusaidia katika Kuamwabudu Mungu katika Roho na Kweli (Spiritual Worship)
373
7. Kutuwezesha Kumwabudu Mungu katika Roho na Kweli
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 7. Kutuwezesha Kumwabudu Mungu katika Roho na Kweli Yohana 4:23-24, Mfano; Matendo 2: ; Walipojazwa Roho Mtakatifu, waliweza kumwadhimisha Mungu kwa matendo yake makuu.
374
8. Kuusulubisha Mwili na Tamaa zake (Crucify the Flesh)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 8. Kuusulubisha Mwili na Tamaa zake (Crucify the Flesh)
375
8. Kutuwezesha Kuusulubisha mwili pamoja na tamaa zake.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 8. Kutuwezesha Kuusulubisha mwili pamoja na tamaa zake. 1Wathes 4:1-4-7, Wagalt 5:16-24 Mfano; Warumi 7:15-25, Warumi 8:5-12 Paulo: Mambo mabaya nisiyotaka, nilijikuta ninayafanya, Yesu kwa Roho wake, akampa kuyashinda.
376
9. Kuvunja Pingu na Vifungo (Deliverance)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 9. Kuvunja Pingu na Vifungo (Deliverance)
377
9. Kuvunja Vifungo na Vizuizi maishani mwetu.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 9. Kuvunja Vifungo na Vizuizi maishani mwetu. 2Wakor 3:17, Luk 4:18-19 Isaya 10:27, Mathayo 12:28 Mfano; Luka 11:20 1Samweli 16:17-23 Matendo 9:17-19,.
378
10. Kutuwezesha Kukua Kiroho (Spiritual Growth)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 10. Kutuwezesha Kukua Kiroho (Spiritual Growth)
379
Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, bali akuzae ni Mungu
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 10. Kutuwezesha Kukua Kiroho. 2Wakor 3:6, 17-18, 2Petro 3:18 Waefes 4:11-15 Mfano; 1Wakorintho 3:6-9 Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, bali akuzae ni Mungu
380
11. Kuchipusha Karama na Vipawa vya Kiroho (Spiritual Gifts)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 11. Kuchipusha Karama na Vipawa vya Kiroho (Spiritual Gifts)
381
11. Kutupa Karama na Vipawa vya Kiroho.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 11. Kutupa Karama na Vipawa vya Kiroho. 1Wakor 12:4-11, Warumi 12:6-13 1Wakorintho 14:1-5 Mfano; Kutoka 31:1-11 Nimempa Bezaleli Upako (Roho) wa kuchonga na kuchora kwa ustadi vitu vya nyumba ya Mungu
382
Kutunyakua kwenda Mbinguni (Kutubadilisha Asili)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 12. Kutunyakua kwenda Mbinguni (Kutubadilisha Asili) (Change of Nature)
383
12. Kubadilisha asili yetu na kutunyakua kwenda Mbinguni.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 12. Kubadilisha asili yetu na kutunyakua kwenda Mbinguni. Luka 1:30-38, Mdo 1:1-2,9 Mfano; Matendo 8:38-40 Walipomaliza ubatizo, Roho wa Mungu akamyakua Filipo kutoka Samaria mpaka Azoto bila usafiri.
384
UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
KAZI YA ROHO MTAKATIFU UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
385
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 “16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele.
386
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 ‘’17 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumtambui.
387
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29 ‘’17 … Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu.
388
“Kama Yesu” “Msaidizi Mwingine” Ina maana ni (Katika Nafai ya Yesu).
SIRI YA KANISA LA LEO “Msaidizi Mwingine” Ina maana ni “Kama Yesu” (Katika Nafai ya Yesu). Si mpungufu
389
SIRI YA KANISA LA LEO Siri ya Kutembea na Nguvu za Mungu ipo katika utii wa uongozi wa Roho Mtakatifu maishani mwako.
390
SIRI YA KANISA LA LEO Kiwango cha nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea kiwango cha utii unaompa Roho Mtakatifu, ambaye ni Msaidizi wako.
391
kuitambua sauti yake (signal) kuisikia sauti yake (kuelewa)
SIRI YA KANISA LA LEO Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk kuitambua sauti yake (signal) kuisikia sauti yake (kuelewa) kuitii sauti yake (kutenda)
392
SIRI YA KANISA LA LEO Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu ulionao kwa uongozi wa Msaidizi wako, Roho Mtakatifu.
393
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
394
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna za KAWAIDA Namba ZISIZO KAWAIDA
395
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
NAMNA ZA KAWAIDA
396
Namna za KAWAIDA Kwa Neno lake (Logos); (Zab 119:105, 2Tim 3;16-17)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU Namna za KAWAIDA Kwa Neno lake (Logos); (Zab 119:105, 2Tim 3;16-17)
397
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna za KAWAIDA 2. Kwa Ushuhuda wa moyoni (Sauti ya Ndani – ‘Rhema’) Isaya 55:8-11, Yer 29: 11 (1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)
398
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna za KAWAIDA 3. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru) (Isa 55:12, Kol 3:15) (Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)
399
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna za KAWAIDA 4. Kwa njia ya Ndoto (Math 1: Math 2;19-21)
400
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna za KAWAIDA 5. Kwa kutumia watu wengine. (Math18:16, Mdo 6:3-6)
401
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
B. NAMNA ZISIZO ZA KAWAIDA
402
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
B. Namna ZISIZO KAWAIDA 6. Kwa njia ya Maono (Mdo 10:1-19, Mdo 9:10-12) (Mdo 16:9-10)
403
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna ZISIZO KAWAIDA 7. Kwa Neno la Maarifa (1Kor 12:4-8; Mdo 5:1-11) (Math 12:22-28)
404
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna ZISIZO KAWAIDA 8. Kwa Neno la Hekima (1Kor 12:4-8; 2Fal 2:19-21) (Yoh 9:1-7)
405
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna ZISIZO KAWAIDA 9. Kwa njia ya Unabii. (1Kor 12;7-10, 1Kor 14:10) (Mdo 13:1-3)
406
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
Namna ZISIZO KAWAIDA 10. Kwa Sauti ya Nje (Mk 9:1-8, Mdo 9:1-9) (Yoh 12:28-30)
407
KUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YA ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO KUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YA ROHO MTAKATIFU
408
Masharti ya Usikivu Mzuri;
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 1. Maisha ya Utakatifu (Yoh 9:31, 2Wakor 6:14-18) (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)
409
(Utukufu) Uhusiano Mungu
VITA YA MWILI NA ROHO (Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
410
Masharti ya Usikivu Mzuri;
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 2. Kusifu na Kuabudu (Yoh 4:23-24, Zab 22:3) (2Nyak 5:13-14)
411
Masharti ya Usikivu Mzuri;
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 3. Kusoma Neno kwa Bidii (Waebr 4:12, Wakol 3:16-17) (2Tim 3:16-17)
412
Masharti ya Usikivu Mzuri;
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 4. Maombi ya Muda Mrefu (Wakol 4:2, 1Thes 5:17) (Luka 6:12/18:1)
413
Masharti ya Usikivu Mzuri; 5. Kukusanyika katika Ibada
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 5. Kukusanyika katika Ibada (Math 18:19-20, Waebr 10:25)
414
Masharti ya Usikivu Mzuri;
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 6. Kuenenda kiroho (Katika Roho) Wagal 5:16-25, Warum 8:5-12 1Wakor 1:1-9
415
Tabia za rohoni Tabia za mwilini
KANUNI ZA MAISHA Rohoni Mwilini Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k Uchawi, Mila mbaya,n.k.
416
Masharti ya Usikivu Mzuri; 7. Kutembea katika kiwango
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 7. Kutembea katika kiwango Waebrania 5:11-14 Wagalatia 4:1 Mathayo 17:1-9
417
7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge) (1Sam 16:13, Zab 23:5)
KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri; 7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge) (1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)
418
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kujaa Nguvu za Mungu Kiwango, Kipimo, Ujazo
419
Vizuizi vya Usikivu Mzuri; 7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho
KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri; 7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho (Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)
420
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUJAZWA ROHO Mt. Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.
421
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Musa na Wazee 70 wa Israeli. Kutoka 24:1-18
422
^^^^^^^^^^ 3rd Class 7. Ngazi (Level) ya Wito Kutoka 24:1-18
^ st Class ^^^ 2nd Class ^^^^^^^^^^ 3rd Class
423
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Wanafunzi wa Yesu. Luka 6:13-16
424
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
1 (Yoh 21:19-24) 3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15) 70 (Luka 10:1,17) 120 (Mdo 1:15) 500 (1Kor 15:3-8)
425
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGAZI YA IMANI Luka 6:13-16 Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya Mungu
426
Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu; 1. Utakatifu (1Pet 1:15-16, Isa 57:17) 2. Kuabudu (John 4:23-24, Psa 22:3) 3. Maombi (Exo 24:12-18, Luk6:1219) 4. Neno (Heb 4:12, Col 3:16) 5. Ibada (Math 18:19-20) 6. Kiroho (Wag 5:16, War 8:5-8) 7. Kiwango (Efes 4:11-15, Ebr 5:11-14)
427
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
MATOKEO 1. Kukua na Kuimarika Kiroho Gal 4:3-6, 1-2 Ebr 5:11-14 Mfano ; Luka 9:51-56
428
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
MATOKEO 2. Kuongezeka Viwango vya Nguvu na Uwezo Yoh 4:13-14, Yoh 7:37-39 Rum 1:17; Zab 84:1,4-7; 2Kor 3:18
429
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
MATOKEO 3. Kutembea na Nguvu za Mungu Luka 6: 12,17-19, Kutoka 34:29-35 Mfano ; Matendo 3-5
430
VIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO VIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
431
Maisha ya Kinyume cha Masharti;
VIZUIZI VYA KUONGOZWA Maisha ya Kinyume cha Masharti; 1. Kuishi katika Dhambi na Uasi. 2. Kukosa kuabudu kirefu (binafsi). 3. Kukosa maombi ya kutosha. 4. Kukosa mafundisho ya Neno la Mungu 5. Kukosa ibada (za pamoja). 6. Kuenenda kimwili (Tabia za kimwili). 7. Kukosa Ujazo na Kiwango cha kiroho.
432
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
HITIMISHO
433
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 1:26-28, Zab 8:4-8 Haiwezekani kuitawala dunia kwa nguvu za kibinadamu pekee; Mungu alikusudia tuishi na kuitawala dunia kwa Nguvu za Mungu.
434
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Lakini Waefeso 3:20 ‘Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako’.
435
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na Kwamba … Nguvu za Mungu zinaweza kukuvusha na kukufanikisha pale ambapo kanuni za kawaida za kimwili (za kiasili) zinapogoma kufanya kazi.
436
KANUNI ZA KIROHO ‘Hivyo Basi mtu wa Mungu akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo yasiyoonekana (mambo ya rohoni) yaani Imani.
437
KANUNI ZA KIROHO Na kwa namna Mungu alivyousuka ulimwengu wa dunia hii, ni hakika ya kwamba, vitu tunavyotaka vifanyike katika ulimwengu wa mwili, ni sharti kwanza vifanyike katika ulimwengu wa roho.
438
KWANINI ROHO MTAKATIFU ‘nguvu fulani za kiroho’.
Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.
439
KANUNI ZA KIROHO Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia; kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho, kwa msaada wa nguvu za kiroho
440
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Ndio maana Mungu ametupa Roho wake, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za ajabu za Roho Mtakatifu.
441
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa Nguvu za ajabu za Roho Mtakatifu”.
442
KANUNI ZA KIROHO Na kwa namna Mungu alivyousuka ulimwengu wa dunia hii, ni hakika ya kwamba, vitu tunavyotaka vifanyike katika ulimwengu wa mwili, ni sharti kwanza vifanyike katika ulimwengu wa roho.
443
KWANINI ROHO MTAKATIFU ‘nguvu fulani za kiroho’.
Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.
444
KANUNI ZA KIROHO Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia; kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho, kwa msaada wa nguvu za kiroho
445
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Ndio maana Mungu ametupa Roho wake, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za ajabu za Roho Mtakatifu.
446
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni muhimu tujue kwamba, Haiwezekani kuutawala ulimwengu wa mwili (dunia) kwa nguvu za mwili peke yake; pasipo nguvu za kiroho; nguvu za Mungu (Utukufu)
447
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 3:20 Basi atukuzwe Mungu awezaye kutenda mambo makubwa na ya ajabu mno, kuliko tunavyowaza na kuliko tunavyoomba, kwa kadri ya utendaji wa Nguvu zake, utendao kazi ndani yetu.
448
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kumbe … Utukufu au Nguvu za Mungu za kutuwezesha kuutawala ulimwengu wa mwili (dunia), Mungu ameziweka ndani yetu Kwa njia ya Roho Mtakatifu! (Warumi 8:11, 1Yoh 4:13,17)
449
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Mapenzi ya Mungu tutembee kazi Ujazo wa Nguvu zake, kila siku ya maisha yetu; hapo ndipo tutakapoona ushindi wa Mungu katika kila eneo la maisha yetu. (Luka 24:49, Waefeso 5:18)
450
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 24:49 Msiondoke mjini, mpaka mtakapovikwa (nguvu) uweza utokao juu. Subirini humu mjini, nawaletea hiyo ahadi ya Baba (Roho Mtakatifu)
451
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 5:18 Basi msilewe kwa pombe, kuna uchafu katika kufanya hivyo; ila badala yake, mjazwe kwa Roho (humo kuna uzima)
452
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi ndani yako.
453
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta, kwa maombi mazito na makali sana maishani mwake, ili aweze kuwa mshindi na zaidi ya mshindi.
454
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu, duniani. (‘It’s a necessity’)
455
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Pasipo, Nguvu za Mungu, (nguvu za kiroho) mwanadamu hataweza kutawala mazingira yake kwa ukamilifu; hataweza kuwa na ushindi kamili maishani.
456
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
457
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Ndio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za Roho Mtakatifu”.
458
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu, duniani. (‘It’s a necessity’)
459
KANUNI ZA KIROHO Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupamba na ulimwengu wa mwili ambao huwa wakati mwingine, unakataa tu kufanya kazi vile inavyotakiwa au vile ilivyotegemewa.
460
KANUNI ZA KIROHO ‘Hivyo Basi mtu wa Mungu akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo ya rohoni na pia awe na Nguvu kubwa za rohoni.
461
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Na sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho wake Mtakatifu, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho (Nguvu za ajabu).
462
KANUNI ZA KIROHO Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia; kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho, kwa msaada wa nguvu za kiroho
463
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi ndani yako.
464
Mafundisho Mengine Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive Dar es Salaam.
465
(Christ Rabbon Ministry)
Kwa mawasiliano zaidi, Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry) Dar es Salaam, Tanzania.
466
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
MWISHO
Similar presentations
© 2025 SlidePlayer.com Inc.
All rights reserved.